Good News timu anayocheza Mtanzania Ujerumani imetwaa Ubingwa
MuroTV
Michezo
Good News timu anayocheza Mtanzania Ujerumani imetwaa Ubingwa

Timu ya Mgeta imetwaa taji hilo baada ya kufanikiwa kuifunga TSG Wustenrot kwa magoli 2-0, ushindi huo sasa unaipa nafasi nyingine timu ya Sport Freunde Lauffen ya kushiriki Kombe la Ujerumani (Germany Cup).

No comments:
Post a Comment