BREAKING: JPM AMTEUA MPINZANI KUWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO
MuroTv
Mix
BREAKING: JPM kamteua mpinzani kuwa Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro

Wakati huo huo, JPM amemteua Meja Jenerali Issah Suleiman Nassor kuwa Balozi ambapo kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Kadhalika, JPM amemteua DIGP Abdulrahman Omari Juma Kaniki kuwa Balozi ambaye kabla ya uteuzi huo alikuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi.
No comments:
Post a Comment