Header Ads

Afrika imetajwa kuwa na mji wenye gharama zaidi kuishi duniani (+List)

Kwa wengi huenda ikawa tofauti kwenye mawazo kwa kuamini kuwa miji yenye gharama haiwezi kuwepo Afrika. Sasa utafiti uliofanywa na Shirika la Takwimu za Gharama za Kuishi Duniani (Mercer) umeutaja mji mkuu wa Angola, Luanda kushika nafasi ya kwanza duniani kati ya miji yenye gharama kubwa za kuishi.
Afrika pia ina miji miwili yenye gharama ndogo za kuishi ambayo ni Windhoek wa nchini Namibia pamoja na Blantyre nchini Malawi. Nimekuwekea hapa chini miji 10 yenye gharama kubwa za kuishi duniani.


Muro Tv Ipo Play Store…Download HAPA ,Tuwe tunakutumia habari kwa haraka zaidi,kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba:0768786851, whatsapp:0768786851
 Download Hpa

No comments:

Powered by Blogger.