Header Ads

Washambuliaji 2 wa London watajwa na polisi

MuroTV

LONDON 

Washambuliaji 2 wa London watajwa na polisi

Khuram Butt, Rachid Redouane Khuram Butt (kushoto) alikuwa akijulikana kwa polisi na maafisa wa usalama
Polisi nchini Uingereza imewataja wanaume wawili kati ya watatu waliofanya shambulio katika London Bridge siku ya Jumamosi na kuwauwa watu saba kabla ya kuuawa kwa risasi .
Mmoja wao alikuwa Khuram Butt, alikuwa akitambuliwa na huduma za usalama za Uingereza.
Kundi la Islamic State lasema lilihusika na shambulio London
Polisi wakamata watu 12 kufuatia shambulizi la London
Aliwahi kuonekana kwenye kipindi cha Televisheni mwaka jana kilichoangazia kundi lenye itikadi kali linalounga mkono Islamic state .
Wote waliokuwa wamekamatwa na polisi kufuatia mauaji hayo wameachiliwa bila mashtakaVigil in Potters Field Park
Ibada ilifanyika eneo la Potters Field Park karibu na London Bridge.
 MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv
 

No comments:

Powered by Blogger.