Ronaldo kataja sababu za kubadili style ya nywele zake
Michezo
MuroTV
MICHEZO
Ronaldo kataja sababu za kubadili style ya nywele zake
Ronaldo ambaye amezoeleka kuwa na tabia ya kupenda kuzitunza nywele zake kiasi cha kufikia kusemwa katika mitandao ya kijamii kuwa anapenda kuziangalia nywele zake sana katika kioo akiwa anaingia uwanjani, alionekana kanyoa siku moja baada ya ushindi wa Champions League.

Leo June 6 2017 mtandao wa bleacher report umemnukuu staa huyo akitaja sababu za kunyoa nywele hizo baada ya ushindi wa 4-1 akiwa kafunga magoli mawili na kuisaidia timu yake ya Real Madrid kutwaa taji la 12 la UEFA Champions League msimu wa 2016/2017.

“Niliweka ahadi mwenyewe kama tutashinda Champions League na nitafunga goli basi nitanyoa nywele zangu tumeshinda na nimefunga”>>> Ronaldo
MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati

No comments:
Post a Comment