Header Ads

Maneno ya Miss TZ 2016 kuhusu Bongo Movie

MuroTV

 Burudani

Maneno ya Miss TZ 2016 kuhusu Bongo Movie

Miss TZ 2016 Diana Edward amebainisha kuwa hana nia wala malengo ya kuingia kwenye industry ya uigizaji Bongo maarufu kama Bongo Movie tofauti na warembo wengine wa tasnia ya urembo ambao mara nyingi wamekuwa wakiingia huko baada ya kumaliza muda wao.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diana ameweka wazi kuwa kuweka nguvu kwenye Kampeni yake ya Dondosha Wembe yenye kutoa elimu kuhusu ukeketaji ndiyo malengo yake hivyo mashabiki wake wasimsubiri kujiunga Bongo movie.
“Niweke hili wazi, malengo yangu yapo kwenye Kampeni yangu ya Dondoshawembe si vinginevyo. Bongo movie Hapana Hapana Hapana. Makala za kuelimisha sawa” – Diana Flave.

MuroTV na murotv.blogspot.com zipo kwaajili ya kukuhabarisha kwa wakati.
Image may contain: text KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.