Header Ads

Alichokisema Mama Samia kwenye Kongamano la Mazingira, Butiama

MuroTV

Alichokisema Mama Samia kwenye Kongamano la Mazingira, Butiama

Makamu wa Rais Samia Suluhu akiwa kwenye Kongamano la Mazingira amewaasa Watanzania kutumia wajibu wao kukumbushana umuhimu wa kuyatunza na kuhifadhi Mazingira kwa manufaa na mustakabali wa maisha ya kila siku.
Akizungummza wakati wa Kongamano hilo Makamu wa Rais amesema kuwa kutokana na kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya Mazingira mwaka huu jamii inahimizwa sana kuhifadhi mazingira.
“Kaulimbiu yetu Mwaka huu inasema: Mahusiano endelevu kati ya Binadamu na Mazingira…kaulimbiu hii inatuhimiza Jamii yote kuhifadhi Mazingira kwa kuzingatia uhusiano wa kutegemeana uliopo kati ya maisha ya binadamu na maliasili hususani katika shughuli zetu za kijamii na kiuchumi na mazingira.” – Samia Suluhu.
KWA MATANGAZO WASILIANA NAMI KUPITIA; 
Phone: 0768786851
Email:prospermuro690@gmail.com
          : prosperalphonce35@gmail.com
Instagram: muro_tv

No comments:

Powered by Blogger.