Header Ads

WALICHOANDIKA MASTAA WA BONGO BAADA YA WATANZANIA KUTAJWA NA FORBES

fB insta twitter

MuroTv

Walichoandika mastaa Bongo baada ya 

watanzania kutajwa na Forbes

Leo May 2017 Jarida la Forbes limetoa list ya vijana 30 wa Afrika wenye umri wa chini ya miaka 30 ambao wamefanya mambo makubwa kutengeneza utajiri na kuinua uchumi wakiwa na umri mdogo wakiwajumuisha Watanzania Jokate Mwegelo na Lavie Makeup.
New Story ni kwamba baada ya list hiyo kutangazwa mastaa mbalimbali wa Bongo wakiongozwa na Vanessa Mdee kupitia account zao za mitandao ya kijamii walionesha furaha na kutoa pongezi.
“Siku hizi wanawake wenye malengo hawapewi kipaumbele, nawapa salut Jokate na Lavie,watu watapost vingine visivyo na maana lakini kiukweli hichi ni kitu kikubwa.”  – Vanessa Mdee.

“Mpambaji wangu ametajwa na Forbes, Yesu wetu aendelee kukufanya ung’aree, Jokate nakuona pia hongera sana.” – Lulu.

“Woyoooooooooooooo, Nilisema mimi lazima kiba aingizwe humu. Nakua mtabiri sasa ukimuona hapo sema woyo” – Idriss Sultan.

No comments:

Powered by Blogger.